Miss Dar Inter College 2012, Hilda Edward ambaye pia ni Miss Ustawi 2012 akiwa na mshindi wa pili Jamila Hassan(kulia) na mshindi wa tatu Rose Muchunguzi(kushoto), baada ya shindano hilo lililofanyika kwenye ukumbi wa Makumbusho, katikati ya Jiji la Dar es Salaam usiku huu.
TOP 5; Kutoka kulia Veronica Yole, Sada Suleiman, Rose Muchunguzi, Jamila Hassan na Hilda Edward
Hilda akipokea taji toka kwa Miss Dar Inter College 2nd runner Blessing Ngowi
Totoz za IFM
Totoz za IFM
DIAMOND PLATINUM
Katikati ni Jaji Wema akifuatilia kwa hisia zote kibao "Wema Wangu" wakati Diamond the Platinum anatumbuiza...
|
Mamaaaa PLATINUMZ!
|
No comments:
Post a Comment