Banner

Tuesday, July 31, 2012

2nd Semester examination results on >>>



Ifm Beaware






03/08/2012 - Declaration of 2nd Semester examinations for all 2011/2012 undergraduate and postgraduate programmes

HOSTEL APPLICATIONS FOR CERTIFICATE AND DIPLOMA STUDENTS (2012/2013)


HOSTEL APPLICATIONS FOR CERTIFICATE AND DIPLOMA STUDENTS (2012/2013)

1. I wish to inform Certificate and Diploma students that the Institute has some rooms for
student accommodation for academic year 2012/2013. The rooms will be provided to:
a) Students with special needs (physical disability or any serious health problem)
b) Students from upcountry on the basis of first come-first saved (as per available data)

2. There are only few spaces meant for Certificate and Diploma students, 300 beds in total.
Students who cannot get room at the campus will be assisted to get accommodation into
off-campus hostels which are recognized by the Institute.

3. Collect Hostel Application Form from Student Service Desk at Christian City Centre or
download it here.

4. Hostel fee for 2012/2013 is Tsh 400,000, paid with key deposit of 30,000, and 5,000 for
Student Hostel Identity Card. (Total Tshs 435,000)

5. Payment is made after your name is published in the list of successful hostel applicants.
List of successful hostel applicant will be posted on Institute website and notice board
one day after logging application form.

ISSUED BY OFFICE OF DEAN OF STUDENTS
27.07.2012

Tuesday, July 24, 2012

Wiki 1 baada ya kifo cha Mwenzetu Agnes,,, UDAKU



"""MWANAFUNZI wa Chuo Kikuu Cha Usimamizi wa Fedha, (IFM) jijini Dar es Salaam, Agnes B. King’unza (pichani), amefariki dunia katika Hospitali ya Taifa ya Muhimbili baada ya kuokotwa akiwa hajitambui katika ufukwe wa Bahari ya Hindi jirani na Coco Beach.
Habari za kipolisi zinasema Agnes alitekwa kisha akaokotwa na msamaria mmoja ambaye kwa taarifa za awali anatajwa kuwa ni mlinzi wa nyumba moja maeneo ya Coco Beach, ambako ndiko alikokutwa akiwa hajitambui.
“Polisi na hata watu wengine wanahisi kuwa msichana huyo alitekwa kisha kutupwa na watu wasiofahamika, baada ya kufanyiwa ukatili wa kutisha kwa kunyweshwa kitu kinachodhaniwa kuwa ni sumu,” kilisema chanzo chetu cha habari ndani ya jeshi la polisi.
Habari zinasema baadaye mwanafunzi huyo ambaye alikuwa akichukua shahada ya mambo ya kodi, alipelekwa Kituo cha Polisi cha Oysterbay kisha askari hao wakamkimbiza Hospitali ya Agha Khan kwa matibabu.
Hata hivyo, habari zinasema madaktari wa Agha Khan baada ya kuona hali ya mgonjwa ilikuwa mbaya, walimpa rufaa na kumpeleka katika Hospitali ya Taifa ya Muhimbili kwa uchunguzi na matibabu zaidi.
“Agnes alifariki jioni ya Julai 16, mwaka huu katika Hospitali ya Muhimbili na habari za kifo chake zilisababisha Chuo cha IFM kuzizima kwa wanafunzi kumlilia mwenzao,” kilisema chanzo hicho.
Kamanda wa Polisi wa Mkoa wa Kipolisi wa Kinondoni, ACP Charles Kenyela alithibitisha kutokea kwa tukio hilo na akasema kwamba wasamaria wema walisema waliona Bajaj ikifika eneo alilotupwa Agnes wakadhani wanatupa mzigo.
“Walipokwenda kuangalia wakakuta ni mtu akiwa hoi hajitambui. Baada ya kupelekwa hospitali siku ya pili alikuja mama mdogo wa marehemu Agnes aitwaye Veronica Galus na akaleta taarifa kuwa binti yao huyo amefariki dunia. Polisi tunaendelea na uchunguzi kuwatafuta wahusika,” alisema Kenyela. Hata hivyo, kifo hicho kimeacha maswali mengi kuwa binti huyo alilishwa nini na nani?
Mzazi wa marehemu aliyetajwa kwa jina la Bernad King’unza mkazi wa Kimara Dar, hakupatikana kwa maelezo kwamba alikuwa safarini Iringa kwenye mazishi ya mpendwa wao huyo yaliyofanyika nyumbani kwao Kalenga, Iringa Julai 19, mwaka huu."""

HABARI YOTE NI TOKA KWENYE GAZETI MOJA LA UDAKU AMBALO NINA WASIWASI NA UHAKIKA WAO JUU YA KIFO HIKI...

R.I.P AGNESS, MUNGU AKULAZE MAHALA PEMA PEPONI,,, AMINA!!!

Thursday, July 19, 2012

MSIBA WA MWANAFUNZI KUTOKA IFM: AGNES. B


Picture
Marehemu Agnes B. King'unza wakati wa uhai wake. Agnes alikuwa ni mwanafunzi wa Chuo cha Usimamizi wa Fedha (IFM) mwaka wa kwanza akichukua Shahada ya Kodi (Bachelor of Taxation)
Agnes aliokotwa na msamaria mmoja ambaye kwa taarifa za awali zinasema alikuwa ni mlinzi wa nyumba moja maeneo ya Koko Beach ambako ndio alikutwa ametupwa na watu wasiofahamika na kupelekwa kituo cha Polisi cha Oysterbay na baadae kukimbizwa hospitali ya Agha khan.

Marehemu Agnes B. King'unza alifariki Jioni ya tarehe 16/07/2012 katika Hospitali ya Muhimbili ambako alipelekwa baada ya Madaktari wa Hospitali ya Agha khan kushindwa kumtibu na kumrufaa Muhimbili kwa matibabu zaidi.

Mwili wa Marehemu Agnes King'unza umesafirishwa jana Jioni kwenda Nyumbani kwao Kalenga - Iringa kwa mazishi ambayo yatafanyika leo tarehe 19/07/2012.

Baba Padre wa Parokia ya Mbezi Temboni akibariki mwili wa Agnes King'unza
PictureMwili wa marehemu Agnes ukiwa kwenye jeneza ulipokuwa ukiwasili nyumbani kwao Mbezi kwa Msuguri

Mwili wa Marehemu Agnes ukiwa kanisani tayari kwa
 heshima ya mwisho katika kanisa la Romani katoliki Mbezi Temboni

Makamu Rais wa Serikali ya wanafunzi wa IFM akitoa salamu
 za rambi rambi kwa niaba ya wanafunzi wenzake
Baadhi ya wanafunzi wenzake aliokuwa akisoma nao katika
 chuo cha usimamizi wa fedha IFM na kushoto mwenye shati la mistari
 ni mwakilishi kutoka wafanyakazi wa IFM

Friday, July 6, 2012

FACEBOOK PHONE

      





       

 Hii ni mahususi kwa FACEBOOKERS, ni "device" ya kipekee ambayo itakua inatumika ki"facebook" zaidi hii ni pamoja na kupiga picha na ku"upload" pamoja na mambo yote ambayo yanafanyika facebook. Yote hii ni kukurahisishia badala ya kuwa na simu ambayo masaa 23.5 upo nayo facebook basi unapata hiki kifaa ambacho ni moja kwa moja mpaka facebook bila kikomo... kinatumia "connection" za kawaida kama wi-fi au 3G yani unaweka chip ya mtandao wowote then mambo yanaendelea. Hapo ni ku"like" kwa kwenda mbele kama unavyoona ndio "button" pekee kwa juu, pembeni ni "button" ya camera.

Monday, June 25, 2012

WEMA AKIZINDUA "SUPERSTAR", AKISINDIKIZWA NA OMOTOLA




Wema Sepetu "Superstar"
                        


Omotola akiwa na Miriam Odemba


Omotola akiwasili viwanja vya ndege vya Mwalim Nyerere





Omotola na Wema

Saturday, June 23, 2012

MISS DAR-INTER COLLAGE 2012




Miss Dar Inter College 2012, Hilda Edward ambaye pia ni Miss Ustawi 2012 akiwa na mshindi wa pili Jamila Hassan(kulia) na mshindi wa tatu Rose Muchunguzi(kushoto), baada ya shindano hilo lililofanyika kwenye ukumbi wa Makumbusho, katikati ya Jiji la Dar es Salaam usiku huu.


TOP 5; Kutoka kulia Veronica Yole, Sada Suleiman, Rose Muchunguzi, Jamila Hassan na Hilda Edward



Hilda akipokea taji toka kwa Miss Dar Inter College 2nd runner Blessing Ngowi



                                                                     Totoz za IFM



                                                                  Totoz za IFM









                                                                    DIAMOND PLATINUM







Katikati ni Jaji Wema akifuatilia kwa hisia zote kibao "Wema Wangu" wakati Diamond the Platinum anatumbuiza...
Mamaaaa PLATINUMZ!


BON VOYAGE PARTY @SAVANNAH & MUCH MORE

Ni baada ya final examz wiki ijayo 3 BROTHERS wameandaa party mbili za ukweli, 1 ni THURSDAY NIGHT kwa wanaomaliza Alhamisi na nyingine ni FRIDAY NIGHT kwa wote. 
Hizi ni Party mahususi kwa wanaIFM kuagana na FINALISTS ila wote mnakaribishwa!


 28June@Savannah Lounge

29June@MuchMore Club

Sunday, June 17, 2012

Miss Kigamboni City 2012
























Redd’s Miss Kigamboni City 2012Eda Sylvester (katikati pichani) akiwa na mshindi wa pili Agnes Goodluck (kushoto) na mshindi wa tatu Elizabeth Boniface mara baada ya kutangazwa washindi.

Wednesday, June 6, 2012

Pata T-shirt yenye LOGO hii...

Hiyooo... logo moja kwa woooote wanaoikubali I.T na Technology kwa ujumla, yani CORE i12 ni next level saaana ambayo hata intel hawajaigundua...ndo iliyopo INSIDE. Pata picha hiyo logo ndani ya white T au Blak T-shirt.
Inapatikana toka kwa vijana wa hapahapa IFM, kama umeikubali CHEKI na room 308 blok C... ni kila size na rangi pia.

Friday, June 1, 2012

MR AND MISS IFM KATIKA POOOZ



Mr na Miss IFM baada ya ushindi wakiwa na nyuso za furaha...


  Wema Sepetu naye hakuwa nyuma, hapa alikua akipongeza washindi baada ya kuwapa zawadi... pembeni ni Vice President wa chuo IFM.

FINA REVOCATUS NDIYE MISS IFM 2012



Mshindi wa Redd’s Miss IFM 2012, Fina Revocatus(katikati) akiwa na Mshindi wa Pili, Jane Augustino (kushoto) na wa Tatu Theresia Issayamuda mfupi baada ya kumalizika kwa shindano lao hilo lililofanyika usiku wa kuamkia leo kwenye ukumbi wa Hoteli ya Blue Peal, Ubungo Jijini Dar..

Top five ya Miss Ifm 2012.

Saturday, May 12, 2012

TAMASHA LA MISS NA MR IFM KUHAIRISHWA MPAKA...

Lile tamasha la kuwania Miss na Mr IFM halikuweza kufanyika usiku wa leo kutokana na mvua kubwa iliyonyesha hapa jijini dar. Mvua hiyop iliyonyesha tangu asubuhi mpaka mida ya usiku ilipelekea kuhairishwa kwa hilo Tamasha, hii yote imekuwa "comfirmed" na MZEE WA VIMBWETA muda si mrefu baada ya kuongea na mmoja wa waandaaji wa tamasha aliyedai litafanyika baada ya wiki 2 ambapo ni baada ya TEST 2 za hapa IFM.

Kwa ujumla wanaomba radhi kwa usumbfu uliojitokeza kwani swala hilo liliukua nje saaaaana ya uwezo wao...
Hivyo U SHUD STAY TUNED  4 THE EVENT AFTER TEST 2.
HATIMAYE RAISI WA IFM 2012/2013 AMEPATIKANA

   Ikiwa ni shamra shamra kelele na vifijo usiku wa kuamkia tarehe 12/5/2012, ndipo alipatikana mshindi kati ya wagombea wawili pekee wenye UPINZANI mkubwa usio wa kawaida. Bwana MICHAEL, CHARLES na Bwana EMMANUEL KALINDAGA.
   Uchaguzi uliofanyika Ijumaa ya tarehe 11/5/2012 ndio ulitoa matokeo ya mshindi ambaye si mwingine bali ni MH. CHARLES MICHAEL.  Naye aliweza kumpiku mpinzani wake Bwana KALINDAGA (JEMBE) kwa kupata jumla ya kura 1600 wakati mwenzake akiambulia kura 1400. Matokeo hayo yalipokewa kwa shangwe na furaha kutoka kwa wafuasi wa MH. MICHAEL, wakati upande mwingine wakionyesha kutoridhika na matokeo ilihali wamezidiwa na kura takribani 200.
 
Hivyo kwa mwaka huu 2012/2013, IFM imemchagua CHARLES MICHAEL anayesoma Bachelor ya Insurance mwaka wa 2 kuwatumikia na kuwasimamia kwa uaminifu.

Wednesday, May 9, 2012

MISS na MR IFM 2012




   Hiyo kama inavyoonekana ni Miss IFM ambayo mwaka huu imekuwa ADVANCED kidogo mpaka na wakaka nasi tumepewa fursa na kwenye hicho kinyan'ganyiro cha u"MR".
Na si hapo pekee bali itakua inasindikizwa na shoo kali ya Msanii anayevuma na kutamba sana hapa Tanzania...DIAMOND PLATINUM atakayesababisha ndani ya viwanja vikali vya CINE Club. Na bila kumsahau Mshehereshaji wa siku hiyo si mwingine bali ni yuleee...MPOKI toka ZeComedy.

Mazee hiyo si ya kukosa yani ful kuwakilisha pande zile na 15000/= kwa wenye ID za IFM na 20000/= kwa maraia wengine...

USIKOSEEEEEEEE!!!

Uhandsome unampa urais CHARLES MICHAEL, IFM

Huyu ndie mgombea urais mwenye supporters wengi wasichana chuoni hapa wanaoonyesha dalili za kumpa ushindi, sababu ya msingi ya Bw.MICHAEL kumpita mwenzake sio sera tuu ni pamoja nakuwa "Handsome"

Upande mwingine tunae mgombea uraisi anayejulikana zaidi kama JEMBE, huyu ni Bwana KALINDAGA, EMMANUEL.  Naye ana wafuasi wengi walioweza kumpa kura na kupita katika uchaguzi wa mwanzo hapo Ijumaa tarehe 4/5/2012 na kuwa mpinzani pekee na mkubwa wa Bwana Michael.