Banner

Friday, July 6, 2012

FACEBOOK PHONE

      





       

 Hii ni mahususi kwa FACEBOOKERS, ni "device" ya kipekee ambayo itakua inatumika ki"facebook" zaidi hii ni pamoja na kupiga picha na ku"upload" pamoja na mambo yote ambayo yanafanyika facebook. Yote hii ni kukurahisishia badala ya kuwa na simu ambayo masaa 23.5 upo nayo facebook basi unapata hiki kifaa ambacho ni moja kwa moja mpaka facebook bila kikomo... kinatumia "connection" za kawaida kama wi-fi au 3G yani unaweka chip ya mtandao wowote then mambo yanaendelea. Hapo ni ku"like" kwa kwenda mbele kama unavyoona ndio "button" pekee kwa juu, pembeni ni "button" ya camera.

No comments:

Post a Comment