Banner

Saturday, May 12, 2012

TAMASHA LA MISS NA MR IFM KUHAIRISHWA MPAKA...

Lile tamasha la kuwania Miss na Mr IFM halikuweza kufanyika usiku wa leo kutokana na mvua kubwa iliyonyesha hapa jijini dar. Mvua hiyop iliyonyesha tangu asubuhi mpaka mida ya usiku ilipelekea kuhairishwa kwa hilo Tamasha, hii yote imekuwa "comfirmed" na MZEE WA VIMBWETA muda si mrefu baada ya kuongea na mmoja wa waandaaji wa tamasha aliyedai litafanyika baada ya wiki 2 ambapo ni baada ya TEST 2 za hapa IFM.

Kwa ujumla wanaomba radhi kwa usumbfu uliojitokeza kwani swala hilo liliukua nje saaaaana ya uwezo wao...
Hivyo U SHUD STAY TUNED  4 THE EVENT AFTER TEST 2.

No comments:

Post a Comment